Azam FC waingia Kambini Rasmi
AZAM FC: Kocha Azam FC, Abdi Hamid Moallin amefunguka kuhusu mazoezi ya timu yake ambayo yameanza leo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya kabla ya kusafiri kwenda nchini Misri kwaajili ya kambi rasmi.
1
view
U20 PREMIER LEAGUE COASTAL UNION vs MBEYA KWANZA: Hili hapa goli lililoamuliwa na VAR
#U20PremierLeague : Hili hapa goli la Joel Mwambungu akiipeleka Mbeya Kwanza fainali huku VAR ikifanya kazi yake
FT: Coastal Union 0-1 Mbeya Kwanza
Mechi inayofuata ni Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC saa 12:00 jioni
#AzamSports2HD #U20PremierLeague2022 #LigiKuuYaVijanaU20 #LigiKuuYaVijana #CoastalUnionVsMbeyaKwanza #MbeyaKwanza #CoastalUnion #VARMajaribio
10
views
PAY BACK NIGHT: Habibu Pengo amtambia Saidi Mkola
PAY BACK NIGHT: “Huyu mtoto Said Mkola alikuwa anaongea” maneno Bondia Habibu Pengo akimtambia mpinzani wake Said Mkola kuelekea pambano lao la Julai 30, dimbani Majimaji Songea kwenye #PayBackNight
Pambano kuu kwenye usiku huo ni kati ya Mtanzania, Selemani Kidunda dhidi ya Tshimanga Katompa kutoka DR Congo.
#VitasaNight #PaybackNight #Julai30
Usajili wa Simba sc "Dunia inakwenda kutikisika"
"Dunia inakwenda kutikisika" - Ni Afisa Habari wa Simba, Ahmed Ally, akisema wanatarajia kutambulisha mchezaji wa Kimataifa siku ya kesho Jumatano majira ya 7:00 mchana, atakayetikisa dunia.
#SimbaUsajili #Kimataifa #AhmedAlly #AzamSports1HD
3
views
KAGERA SUGAR imetimuwa wachezaji wake 9 wa kikosi cha kwanza
KAGERA SUGAR: Uongozi wa Kagera Sugar wasema kikosi chao kitakuwa imara zaidi msimu ujao licha ya kuachana na wachezaji tisa wa maana akiwemo Hassan Mwaterema na Nassoro Kapama aliyetambulishwa leo Simba SC.
Afisa Habari wa timu hiyo, Khamis Mazanzara anafafanua zaidi huku akitetea uwepo wa Hamis Kizza klabuni hapo.
2
views
BIASHARA UNITED: Baada ya timu kushuka daraja,Viongozi wa Biashara waachia ngazi, wadau watoa maoni
BIASHARA UNITED: Baada ya timu kushuka daraja, viongozi Biashara United waachia ngazi, wadau watoa maoni.
2
views
UCHAGUZI YANGA: Hersi Ally Said ndio Rais wa Young Africans
UCHAGUZI YANGA: “Natamka rasmi sasa ndugu Hersi Ally Said ndio Rais wa Young Africans” maneno ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga SC, Malangwe Ally Mchungahela.
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#UchaguziYangaSC #YangaSC #Uchaguzi
3
views
Msikie mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais akinadi sera zake
UCHAGUZI YANGA: Msikie mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais, Yanga SC, Suma Mwaitenda akinadi sera zake.
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#UchaguziYangaSC #YangaSC #Uchaguzi
4
views
PLAYOFF: JKT TANZANIA vs TANZANIA PRISONS (09/07/2022)
#WASAFITV #MILLARDAYO #SIMBA #AZAMFC #YANGA #AZAMTV
3
views
Waamuzi bora msimu huu nao wakachukua tuzo zao...
#NBCTFFAWARDS2022 Waamuzi bora msimu huu nao wakachukua tuzo zao…. Tatu Malogo ndiye aliyeng’ara zaidi upande wa wanawake.
Ni katika usiku wa tuzo za TFF unaoendelea muda huu LIVE #AzamSports2HD
#TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2022 #UsikuWatuzo #NBCTFFAwards2022 #TuzoZaNBCTFF #Tuzo #TFF #Awards2022 #UsikuWaMastaaWaSoka
4
views
Na hawa ndiyo washindi wanne kutoka NBC PREMIER LEAGUE
#NBCTFFAWARDS2022 Na hawa ndiyo washindi wanne kutoka #NBCPremierLeague 2021/22
Ni katika usiku wa tuzo za TFF unaoendelea muda huu LIVE #AzamSports2HD
#TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2022 #UsikuWatuzo #NBCTFFAwards2022 #TuzoZaNBCTFF #Tuzo #TFF #Awards2022 #UsikuWaMastaaWaSoka
1
view
JAMHURI KIHWELO aukubali rasmi ubingwa wa YANGA kwenye usiku wa tuzo za TFF
#NBCTFFAWARDS2022 “Nawapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya” – Kocha wa Namungo FC, Jamhuri Kihwelo aukubali rasmi ubingwa wa Yanga kwenye #NBCPremierLeague msimu 2021/22, awataja Mwanyeto na Dickson Job dhidi ya Henock Inonga, asisitiza Yanga wanastahili.
Iko LIVE #AzamSports2HD
#TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2022 #UsikuWatuzo #NBCTFFAwards2022 #TuzoZaNBCTFF #Tuzo #TFF #Awards2022 #UsikuWaMastaaWaSoka
6
views
JUMA MGUNDA awachambua washambuliaji wa Tanzania alipohudhuria Tuzo za TFF
#NBCTFFAWARDS2022 Kocha Juma Mgunda achambua viwango vya washambuliaji wanaosajili kutoka nje ya Tanzania huku akimtaja Rodgers Kola na kuweka wazi masikitiko yake kuhusu Reliants Lusajo.
Mgunda pia ameeleza jinsi alivyoumizwa na mechi ya fainali ya #AzamSportsFederationCup dhidi ya Yanga.
Ni kuelekea usiku wa tuzo za TFF muda huu LIVE #AzamSports2HD
#TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2022 #UsikuWatuzo #NBCTFFAwards2022 #TuzoZaNBCTFF #Tuzo #TFF #Awards2022 #UsikuWaMastaaWaSoka
1
view
AISHI MANULA amsifia kipa wa Yanga Diarra kwenye TUZO za TFF
#NBCTFFAWARDS2022 Golikipa wa Simba, Aishi Manula anasema malengo kwa sasa ni kuwania tuzo za Kimataifa nje ya Tanzania, amzungumzia golikipa wa Yanga, Djigui Diarra, aimwagia sifa Yanga ya msimu huu wa 2021/22, aweka wazi kuhusu hatma yake Msimbazi.
Ni katika usiku wa tuzo za TFF unaoendelea muda huu LIVE #AzamSports2HD
#TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2022 #UsikuWatuzo #NBCTFFAwards2022 #TuzoZaNBCTFF #Tuzo #TFF #Awards2022 #UsikuWaMastaaWaSoka
3
views
GEORGE MPOLE: Msikie Mpole akiongea baada ya kuwasili kwenye TUZO za TFF
#NBCTFFAWARDS2022 Machache kutoka kwa ‘top scorer’ wa #NBCPremierLeague 2021/22 George Mpole akizungumzia ushindani aliokuwanao katika mbio za kuusaka ufungaji bora, huku akimgusia aliyekuwa mshindani wake wa karibu, Fiston Mayele.
Ni katika usiku wa tuzo za TFF unaoendelea muda huu LIVE #AzamSports2HD
#TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2022 #UsikuWatuzo #NBCTFFAwards2022 #TuzoZaNBCTFF #Tuzo #TFF #Awards2022 #UsikuWaMastaaWaSoka
1
view
PERFECT HAT-TRICK toka kwa Sopu
PERFECT HAT-TRICK : Tunapozungumzia mchezaji pekee aliyefunga #hattrick kwenye mchezo wa fainali nchini Tanzania, tunamzungumzia Abdul Hamis Suleiman Sopu ambaye leo ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Azam FC.
Je, wewe unamkumbuka nani aliyewahi kufunga hat-trick kwenye fainali nje ya Tanzania?
Haya hapa magoli yake yote matatu aliyomtungua 'Mdaka Mishale', 'Screen Protector', Djigui Diara kwenye fainalli ya ASFC dhidi ya Coastal Union, Julai 2, 2022.
Hii ilikuwa ni 'Perfect hat-trick', akifunga goli moja kwa mguu wa kushoto, moja kwa mguu wa kulia na lingine kwa kichwa: Hebu tuyatazame yote halafu tuseme ni lipi kali zaidi kati ya haya.
Ni kwa mara ya kwanza Diarra anaruhusu magoli matatu kwenye mechi moja tangu atue Tanzania.
#Usajili #Sopu #AzamFC #AbdulSopu #ASFC #ASFCFinal #Fainali #FainaliASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #CoastalUnion #YangaSC #YangaCoastal
1
view
YANGA vs COASTAL UNION (ASFC): Hizi hapa penati zote saba zilizowapa Yanga ubingwa.
Hizi hapa penati zote saba zilizowapa Yanga ubingwa.
FT: Yanga 3-3 Coastal Union (Pen: 4-1)
#AzamSports1HD #ASFC #ASFCFinal #Fainali #FainaliASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #CoastalUnion #YangaSC #YangaCoastal
2
views
YANGA VS vs COASTAL UNION (ASFC) : Goli la kwanza la FEYSAL TOTO
#ASFCFinal Goli la kwanza kwa Yanga; Goli la tatu kwa Feisal Salum kwenye michuano hii.
92’: Yanga 2-2 Coastal Union.
LIVE #AzamSports1HD
#ASFC #ASFCFinal #Fainali #FainaliASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #CoastalUnion #YangaSC #YangaCoastal
5
views
YANGA SC vs COASTAL UNION: Hivi ndio SOPU alivyowaliza Yanga
#ASFCFinal Goli la saba kwa ‘top scorer’, Abdul Suleiman Sopu kwenye michuano hii.
HT: Yanga 0-1 Coastal Union.
LIVE #AzamSports1HD
#ASFC #ASFCFinal #Fainali #FainaliASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #CoastalUnion #YangaSC #YangaCoastal
2
views
MORRISON ni wa Simba na AZIZ KI ni wa Yanga
"Morrison ni mchezaji wa Simba, Aziz Ki ni Yanga" maneno ya Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli kuhusu tetesi za usajili wa Benard Morrison.
#HassanBumbuli #Yanga #BenardMorrison #Usajili #AzamSports1HD
6
views
COASTAL UNION watua Arusha tayari kwa Fainali ya Azam Sports Federation Cup
Wakati timu ya Coastal Union ikiendelea na mazoezi kuwakabili Yanga, mashabiki wa timu hiyo wazidi kutamba kuchukua ubingwa mbele ya wanajangwani.
#ASFC #ASFCFinal #Fainali #FainaliASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #CoastalUnion #YangaSC #YangaCoastal
1
view