Hili hapa jeraha la Said Mkola lililofanya pambano lake dhidi ya Habib Pengo kushindwa kuchezwa.
USIKU WA KISASI: Hili hapa jeraha la Said Mkola lililofanya pambano lake dhidi ya Habib Pengo kushindwa kuchezwa.
Pambano hilo halikufanyika kwa kuwa Said Mkola alipata jeraha kabla ya kupanda ulingoni
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #KatompaSongea #KidundaSongea #KidundaVsKatompa #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa
6
views
Mtazame Habib Pengo akilia baada ya pambano lake dhidi ya Said Mkola kushindwa kuchezwa
USIKU WA KISASI: Mtazame Habib Pengo akilia baada ya pambano lake dhidi ya Said Mkola kushindwa kuchezwa.
Pambano hilo halikufanyika kwa kuwa Said Mkola alipata jeraha kabla ya kupanda ulingoni
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #KatompaSongea #KidundaSongea #KidundaVsKatompa #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa
6
views
USIKU WA KISASI: Tazama Ezra Paul alivyomkalisha kwa KO ya raundi ya kwanza Kassim Gambo
USIKU WA KISASI: Tazama Ezra Paul alivyomkalisha kwa KO ya raundi ya kwanza Kassim Gambo
Tuko LIVE #AzamSports1HD
#PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #KatompaSongea #KidundaSongea #KidundaVsKatompa #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa
8
views
MBINU KUMPATA AZIZ KI: "Haijatumika pesa nyingi kumpata Aziz Ki"
MBINU KUMPATA AZIZ KI: "Haijatumika pesa nyingi kumpata Aziz Ki" sehemu ya maneno ya Rais wa Yanga SC, Hersi Said akifunguka namna walivyomnyakua Stephane Aziz Ki kutokea Asec Mimosas.
Hersi pia ameutaja mchango wa Yacouba Songne kwenye kupatikana nyota huyo.
#AzizKi #UsajiliAzizKi #YangaSC #azamsports1hd
11
views
Highlight 0:00 - 2:41 from Tanzania Vs Somalia (30/07/2022)
#WASAFITV #MILLARDAYO #SIMBA #AZAMFC #YANGA #AZAMTV
2
views
Tanzania Vs Somalia Highlights (30/07/2022)
#WASAFITV #MILLARDAYO #SIMBA #AZAMFC #YANGA #AZAMTV
1
view
KAMBI YA YANGA:Kilichojiri kwenye kambi ya Yanga SC, Rais wa timu hiyo Hersi Said azungumza.
KAMBI YA YANGA: Kilichojiri kwenye kambi ya Yanga SC, katika viunga vya Avic Town Kigambon. Rais wa timu hiyo Hersi Said azungumza.
#KambiYanga #YangaSC
5
views
Haya hapa magoli yote Azam FC U-20 ikiichapa Aigle Noir U-20 mabao 2-1 na kutinga fainali
#CambiassoU20Tournament2022 : Haya hapa magoli yote Azam FC ikiichapa Aigle Noir mabao 2-1 na kutinga fainali
Bukuru Keita 43', Ally Hassan 74' Cyprian Kachwele 58'
FT: Azam FC U20 2-1 Aigle Noir U20
Mechi inayofuata ni kati ya Montpellier dhidi ya KCCA saa 1:00 usiku
LIVE #AzamSports3HD
#CambiassoU20Tournament2022 #CambiassoU20 #MichuanoU20 #VaaKipajiChako #AzamFCU20VsAigleNoirU20 #AzamFCU20 #AigleNoirU20
1
view
Djibouti vs Burundi Highlights (29/07/2022)
#WASAFITV #MILLARDAYO #SIMBA #AZAMFC #YANGA #AZAMTV
#azamsports1hd #djibouti #burundi #djiboutiVsBurundi #azamtv
1
view
Hizi hapa Jezi mpya za Yanga zitakazotumika msimu ujao wa 2022/2023 kwenye mashindano mbalimbali.
JEZIMPYA : Na hizi ndizo Jezi mpya za timu ya Yanga itakazotumia msimu ujao wa 2022/2023 kwenye mashindano mbalimbali.
#JeziMpyaYanga #JeziYanga #YangaSC #UzinduziJezi #jezimpya
1
view
MANDONGA SONGEA: Karim Mandonga anaeleza jinsi alivyoingia Songea "ki-mafia",
MANDONGA SONGEA: Karim Mandonga anaeleza jinsi alivyoingia Songea "ki-mafia", huku akithibitisha jambo kuhusu lile gogo lileeee......!!!!
Ni kuelekea Usiku wa Kisasi, Julai 30, 2022 ambapo Mandonga atapambana dhidi ya Shaban Kaoneka.
#Mandonga #MandongaSongea #PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #KatompaSongea #KidundaSongea #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa
1
view
Magoli yote Yanga SC U20 ikiichapa Zanzibar Combine U20 mabao 2-1
CambiassoU20Tournament2022: Magoli yote Yanga SC U20 ikiichapa Zanzibar Combine U20 mabao 2-1
FT: Yanga SC U20 2-1 Zanzibar Combine U20
#CambiassoU20Tournament2022 #CambiassoU20 #MichuanoU20 #VaaKipajiChako #YangaU20VsZanzibarCombine #azamsports1hd #azamtv #yangasc #azizki #usajiliyangasc
1
view
Tazama magoli yote Mtibwa Sugar U20 ikiicharaza KCCA U20
#CambiassoU20Tournament2022 : Tazama magoli yote Mtibwa Sugar U20 ikiicharaza KCCA U20
Ezekiel Ensobio 16’ 39’
FT: Mtibwa Sugar U20 2-0 KCCA U20
Mechi inayofuata ni Yanga SC U20 dhidi ya Zanziabar Combine U20 saa 1:00 usiku
LIVE #AzamSports3HD
#CambiassoU20Tournament2022 #CambiassoU20 #MichuanoU20 #VaaKipajiChako #azamsports1hd #azamtv
1
view
SELEMANI KIDUNDA Yupo tayari kumuua KATOMPA
KIKI SONGEA: Bondia Mtanzania, Selemani Kidunda amefunguka namna alivyojiandaa mpinzani wake Tshimanga Katompa ambaye atapambana nae Julai 30, katika ardhi ya nyumbani kwao Songea
Shughuli itaanza saa 12:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa #KidundaSongea #selemanikidunda
#vitasanight #kiduku #azamsports1hd
1
view
CAMBIASSO U-20 TOURNAMENT 2022: Magoli yote Simba SC U20 ikitoka sare dhidi ya Cambiasso U20
#CambiassoU20Tournament2022: Magoli yote Simba SC U20 ikitoka sare dhidi ya Cambiasso U20
FT: Simba SC U20 1-1 Cambiasso U20
#CambiassoU20Tournament2022 #CambiassoU20 #MichuanoU20 #VaaKipajiChako #simbaU20 #azamsports1hd #azamtv #montpellier
1
view
Meneja wa timu ya Simba SC, Patrick Rweyemamu amezungumzia maendeleo ya maandalizi yao ya msimu ujao
Meneja wa timu ya Simba SC, Patrick Rweyemamu amezungumzia maendeleo ya maandalizi yao ya msimu ujao, na hiki ndicho alichokisema.
#AzamSportsUpdates #SimbaSC #phiri #mnyama #manaramiaka20 #azamsports1hd #azamtv
1
view
KAMBI YA YANGA:Kilichojiri leo kwenye kambi ya Yanga, kutoka katika viunga vya Avic Town Kigamboni
KAMBI YA YANGA: @hashem_ibwe anasimulia kila kilichojiri kwenye kambi ya Yanga SC, kutoka katika viunga vya Avic Town Kigamboni ambako timu ya #AzamTV imekita kambi huko.
Dickson Ambundo, Denis Nkane na Zawadi Mauya watoa neno
#KambiYanga #YangaSC
8
views
KAMBI AZAM FC:Yaliyojiri kwenye kambi ya Azam FC ikiwa ni siku ya tatu leo
KAMBI AZAM FC: @mohamedmohamed anasimulia yaliyojiri kwenye kambi ya Azam FC ikiwa ni siku ya tatu leo huku kocha wa washambuliaji Kali Ongala akifunguka maendeleo ya wachezaji wake.
#AzamFC #KambiAzamFC
9
views
KAMBI YA SIMBA:Kilichojiri leo kwenye kambi ya Simba iliyopo Misri
KAMBI YA SIMBA: @patrick_nyembera anasimulia kilichojiri leo kwenye kambi ya Simba SC, iliyopo Misri huku Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akitoa ufafanuzi wa kile kinachoendelea kambini.
#SimbaSC #KambiYaSimba
11
views
MTIBWA U20 WAPEWA ZAWADI: Mtibwa Sugar imefanya hafla ya kuwapa zawadi timu yake ya vijana
MTIBWA U20 WAPEWA ZAWADI: Klabu ya Mtibwa Sugar imefanya hafla ya kuwapa zawadi timu yake ya vijana chini ya miaka 20 baada ya kubeba kombe la U20 Premier League 2022
#MtibwaSugar #U20Mtibwa
4
views
OUTTARA AFUNGUKA: Msikie beki mpya wa Simba SC, Mohamed Ouattara akizungumza kwa mara ya kwanza
OUTTARA AFUNGUKA: Msikie beki mpya wa Simba SC, Mohamed Ouattara akizungumza kwa mara ya kwanza baada ya timu hiyo kumpa kandarasi ya miaka miwili leo Julai 22, 2022.
#SimbaSC #Simba
3
views
CAMBIASSO U-20 TOURNAMENT:Magoli yote wakati Montpellier ikitoka nyuma dhidi ya Cambiasso mabao 2-1
#CambiassoU20Tournament2022: Haya magoli yote wakati Montpellier ikitoka nyuma na kuichapa Cambiasso mabao 2-1
Ally Salum 42’
Langahez Zakaria 68', Halhal Redouane 81'
FT: Montpellier 2-1 Cambiasso
#CambiassoU20Tournament2022 #CambiassoU20 #MichuanoU20 #VaaKipajiChako #MontpellierCambiasso #CambiassoMontpellier #Cambiasso #Montpellier
MANARA afungiwa miaka miwili na Faini ya milioni20
MANARA AFUNGIWA MIAKA MIWILI, FAINI MILIONI 20
Kamati ya Maadili ya TFF, imemfungia Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara kutojihusisha na masuala ya mpira ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili na faini ya shilingi milioni 20 kwa kosa la kumtolea maneno yasiyofaa Rais wa TFF, Wallace Karia katika mechi ya fainali ya kombe la Azam iliyopigwa Jijini Arusha.
#AzamTV #AzamSport #BreakingNews
1
view