Premium Only Content

LISHE BORA NI MTAJI: NIMUHIMU KUWEKEZA KWA WATOTO:
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO)
liliamua kufanya kitu kikubwa nchini Tanzania kwa siku ya Chakula Duniani.
Walitaka kuleta mabadiliko katika maisha ya watoto na historia isio futika kwenye maisha na familia zao kwa kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa lishe bora. FAO iligundua kuwa njia bora ya kufanya hivyo ilikuwa kuanzisha programu ya kufundisha watoto mapishi ya vyakula vyenye lishe.
Kwa ushirikiano wa serikali ya Tanzania na wadau wengine wa
maendeleo, FAO ilianza kutekeleza wazo hili la kipekee. Kupitia miradi yake mbali mbali ambayo hutekelezwa nchini Tanzania ilinayo husika na kilimo pamoja na masuala ya lishe kama vile mradi wa AGRI-CONNECT unao tekelezwa katika mikoa ya Tanzan ia bara na Zanzibar, unao husisha shule za msingi.
Stella Kimambo ni afisa lishe kutoka Fao Tanzania, kupitia siku ya chakula duniani ambayo ilifanyika kitaifa Mkoani Kigoma anaewafundisha watoto kuhusu umuhimu wa vyakula vya protini kwa familia na hasa kwa watoto kama anavyo onekana kwenye video hii.
#FAO
-
LIVE
Meisters of Madness
1 hour agoWuchang - Part 6
41 watching -
34:55
Stephen Gardner
4 hours ago🔥Trump Admin FINALLY shutting it ALL DOWN!
28.9K81 -
LIVE
CassaiyanGaming
3 hours agoBattlefield 6 Open Beta Weekend!
37 watching -
1:03:41
The Mel K Show
5 hours agoMel K & Mike L | Free Energy & A Better Way Forward | 8-17-25
41.3K34 -
LIVE
GritsGG
6 hours agoRanked Crim 2! Most Wins 3390+ ðŸ§
465 watching -
20:54
Forrest Galante
9 hours agoPrivate Tour of World's Largest Animal Sanctuary
70.9K15 -
LIVE
JdaDelete
22 hours ago $1.37 earnedFinal Fantasy VII Rebirth | Jdub's Journey Part 12 | Nibelheim
76 watching -
1:08:50
Wendy Bell Radio
12 hours agoWeekends With Wendy
85.2K148 -
11:09
Nikko Ortiz
2 days agoMost Painful TikTok Clips... Part
79.3K25 -
LIVE
TonYGaMinG
4 hours ago🟢LIVE NOW -DAYZ with ShorianTrax!🌄
52 watching