Kumbukizi ya Rais Magufuli alipofanya Maamuzi ya kumpandisha cheo kiongozi wa JWTZ kwa Uwajibikaji.
#Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
Kumbukizi ya Rais Magufuli alipofanya Maamuzi ya kumpandisha cheo kiongozi wa JWTZ kwa Uwajibikaji mzuri.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amempandisha Cheo afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Charles Mbuge kutoka cheo cha Kanali na kuwa Brigedia Jenerali baada ya kupendezwa na namna alivyosimamia na kufanikisha ujenzi wa baadhi ya ofisi za mji wa Serikali Jijini Dodoma pamoja na nyumba za watumishi. Mwezi mmoja uliopita Brigedia Jenerali Charles Mbuge alikabidhiwa kufanya kazi ya ujenzi wa nyumba za Jeshi la Magereza zilizopo eneo la Ukonga Jijini Dar es Salaam ambazo ujenzi wake umekamilika na pia ndiye aliyesimamia ujenzi wa ukuta wa kuzunguka eneo la machimbo ya madini ya Tanzanite, Mirerani Mkoani Manyara.
Apr 13, 2019
Licensed under a Creative Commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https
-
8:34
Success Path Network
1 year agoUMUHIMU WA KUFANYA JAMBO MOJA KWA WAKATI | Ezden J
4 -
2:47
Chombo5
10 months agoYALE YA ZAMANI YAMEKWISHA SASA #OTHMAN #MASOUD HATUWEZI KUVUMULIA MATESO HAYA #actwazalendotv #OMO
2 -
5:34
Success Path Network
2 years agoNJIA RAHISI ZAIDI YA KUMSAIDIA MWANAO KUFANIKIWA | Ezden Jumanne
-
11:37
Success Path Network
1 year agoJINSI YA KUJENGA UJASIRI NA KUJIAMINI
293 -
15:07
Success Path Network
1 year agoMAMBO 7 YA KUACHA ILI UFANIKIWE | 2023
250 -
8:15
Success Path Network
1 year agoWEWE UNA UJUZI GANI? PATA MAJIBU HAPA | Ezden Jumanne
16 -
8:22
Success Path Network
1 year agoMCHANGO WA AKILI KWENYE MAFANIKIO YAKO | Ezden Jumanne
1 -
3:30
Success Path Network
2 years agoKUSAIDIA WENGINE NI NJIA YA KUPATA ZAIDI | Ejaz Bhalloo Inspiration
3 -
3:16
Success Path Network
2 years agoNAMNA SAHIHI YA KUIGA WENYE MAFANIKIO | Ezden Jumanne
-
1:21:46
ITABAZA TV
1 year agoLeta igiye kugaburira Abanyeshuri inyama z’ingurube/Menya indwara zikomeye ziterwa no kurya ingurube
6