JINSI YA KUKATAA JAMBO KWA HESHIMA BILA KUMKOSEA MTU

1 year ago
3

Leo tutajifunza jinsi ya kukataa jambo kwa heshima na bila kumkosea mtu. Kukataa jambo ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku, lakini inaweza kuwa ngumu sana kufanya hivyo bila kumkosea mtu au kuharibu mahusiano.

Kwa hiyo, nitakupa mbinu kadhaa za kukataa jambo kwa heshima, kama vile kuelezea sababu za kukataa jambo, kusikiliza kwa makini na kujibu kwa uangalifu, na kutumia maneno ya heshima na utulivu. Pia, kuepuka kukataa jambo kwa njia isiyo ya heshima au kuumiza hisia za mtu.

Fuatilia somo hili ili kujifunza mbinu muhimu za kukataa jambo kwa heshima na bila kumkosea mtu.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE – SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: http://wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: http://instagram.com/alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
https://chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: http://instagram.com/ezdenjumanne
Twitter: http://twitter.com/ezdenjumanne
Facebook: http://facebook.com/ezdenjumanne
WhatsApp: http://wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
http://youtube.com/hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
http://youtube.com/@jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
http://instagram.com/voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: http://wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#kataa #kwa #heshima

Loading comments...